1. Utangulizi

Sera hii ya Faragha na Ulinzi wa Data inaeleza jinsi Jiongeze Fintech Company Limited (“sisi,” “Upatu,” au “Jiongeze”) inavyokusanya, kutumia, kuhifadhi, na kulinda taarifa zako za kibinafsi unapotumia Application ya Upatu. Tunajitahidi kulinda faragha ya taarifa zako kwa mujibu wa sheria na kanuni za faragha za Tanzania.

2. Taarifa Tunazozikusanya

Tunapokusanya taarifa zako, tunahakikisha kuwa ni kwa madhumuni halali pekee. Taarifa zinazokusanywa ni pamoja na:

3. Jinsi Tunavyotumia Taarifa Zako

Taarifa zako zitakuwa zikitumika kwa madhumuni yafuatayo:

4. Uhifadhi wa Taarifa

5. Ulinzi wa Taarifa

Tunachukua hatua zifuatazo kulinda taarifa zako za kibinafsi:

6. Kugawa/Kusambaza Taarifa

7. Haki za Mtumiaji

Kama mtumiaji wa Application ya Upatu, una haki zifuatazo:

8. Cookies

Upatu inaweza kutumia Cookies au teknolojia nyingine zinazofanana ili kuboresha huduma zetu, kutambua vifaa, na kufuatilia matumizi ya Application. Unaweza kuzima cookies kupitia mipangilio ya kifaa chako.

9. Madiliko ya Sera hii

Jiongeze ina haki ya kubadilisha sera hii mara kwa mara ili kuboresha na kulinda usalama wa taarifa binafsi za watumiaji wa Upatu App. Mabadiliko yoyote yatajulishwa kupitia Application au simu. Tunaomba upitie sera hii mara kwa mara kuhakikisha unaelewa masharti mapya.

10. Mawasiliano

Kwa maswali au maoni kuhusu Sera ya Faragha na Ulinzi wa Data, tafadhali wasiliana nasi kupitia:

Kwa kutumia programu ya Upatu, unakubaliana na masharti ya Sera hii ya Faragha na Ulinzi wa Taarifa.